Mahusiano Mengi huvunjika kirahisi tu kwa kuwa hujengwa kwenye hisia. Ni lazima kujua kila mahusiano yanatakiwa kuwa na mizizi Imara. Iwe ni mahusiano ya kimapenzi au ya kawaida tu. Ya undugu au ujirani. Yote yanatakiwa kujengwa katika msingi ambao unajua hautavunjika kwa hisia pekee. Iwe kukwazana kwa namna yeyote ile. Kuna umuhimu wa Kumtanguliza Mungu katika kila uhusiano.
Kuhusu Msimulizi.
Hi, I am the author of NaomiSimulizi Blog.This blog is to provide you with daily stories and share my personal style.
Blogu Marafiki
-
-
-
-
DAG Project : Young Women Meetup6 months ago
-
Zinazosomwa Zaidi
-
T unda alitamani isiwe siku ile au alfajiri ile tena. Ndio kwanza alikuwa akipitiwa na usingizi. Alijitahidi kumuonyesha hajamsikia. Akage...
-
U l ikuwa ni mzozo wa muda mrefu sana. Bado Tunda alikuwa amesimama pale pale katikati ya sebule, akisikiliza tu. Mwishowe aliitwa dada wa...
-
Bado ndoto za mafanikio, UTAJIRI kushinda familia fulani, kuhangaika kufanikisha familia iishi kwenye jumba fulani, zuri na la kifahari, k...
-
Hadithi hii ni kazi ya utunzi tu. Majina, sehemu na matukio yote yaliyotumika kwenye hadithi hii ni mawazo ya mtunzi wa hadithi hii. ...
-
Kesho yake Chezo aliamua kumfuata Malon nyumbani kwake. Bado Chezo hakuwa ameoa, baba yake ndio alikuwa mfanya biashara kama Malon. Malon ...
-
A kaanza kupitia zile namba za simu alizoiba kwenye simu ya Kinny wakiwa hotelini. Akachagua jina moja la meneja w...
0 Comments:
Post a Comment